Inachakata...
Jumatano, Hufungua 01:30 - 10:30 (Isipokuwa sikukuu za umma)

Habari Zote Mpya


Inaonyesha 1-2 kati ya 2.
MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA SHINYANGA(SHUWASA) YATIA SAINI MKATABA WA KUIJENGEA TAASISI UWEZO WENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 9

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imetia saini Mkataba wa Kuijengea Taasisi Uwezo, baina yake na Mhandisi Mshauri-Kampuni ya Gopa Infra ya nchini Ujerumani ikishirikiana na Kampuni ya Superlit Consulting Ltd ya nchini Tanzania, wenye thamani ya Shilingi Bilioni 9.Mkataba huo umesaini leo Novemba 4, 2024 katika ukumbi wa mikutano uliopo makao makuu ya SHUWASA katika Manispaa ya Shinyanga.Akizungumza mara baada ya kusaini Mkataba huo, Mkurugenzi Mtendaji wa SHUWASA, Mha... soma zaidi

05/11/2024

Taarifa ya Fedha 2022-2023

Taarifa ya Fedha 2022-2023 soma zaidi

13/09/2024

Inaonyesha 1-2 kati ya 2.