Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imetia saini Mkataba wa Kuijengea Taasisi Uwezo, baina yake na Mhandisi Mshauri-Kampuni ya Gopa Infra ya nchini Ujerumani ikishirikiana na Kampuni ya Superlit Consulting Ltd ya nchini Tanzania, wenye thamani ya Shilingi Bilioni 9.Mkataba huo umesaini leo Novemba 4, 2024 katika ukumbi wa mikutano uliopo makao makuu ya SHUWASA katika Manispaa ya Shinyanga.Akizungumza mara baada ya kusaini Mkataba huo, Mkurugenzi Mtendaji wa SHUWASA, Mha... soma zaidi
05/11/2024