Maadili

Maadili Yetu

Tunaamini kuwa Dhima na Dira yetu itafanya kazi vizuri kwa kutambua na kusimamia maadili yetu kikamilifu.

Wajibu Wetu
  1. Kwa Wateja
    • Kutoa huduma bora ya majisafi na usafi wa mazingira kwa kukidhi mahitaji
    • Kuendelea kuwekeza na kuibua huduma bora za maji zenye thamani ya fedha
    • Kufikia mahitaji ya wateja kwa wakati na kikamilifu.
    • Kuanzisha mahusiano endelevu na ya muda mrefu na wateja wetu.
  2. Kwa Wafanyakazi
    • Kuvutia na kudumu na wafanyakazi
    • Kuheshimu wafanyakazi na haki zao
    • Kutoa kazi katika mazingira ya wazi na ya kushirikiana.
    • Kuhimiza ubunifu na uvumbuzi katika kila nyanja ya kazi.
    • Kutoa fursa ya ukuaji kwa wafanyakazi wote ndani ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Maji ya Shinyanga.
    • Kuhimiza wafanyakazi kufanya mapendekezo ya kuboresha ufanisi wao na wa Mamlaka.
    • Kutoa mazingira mazuri kazi kwa kuzingatia afya, usalama na yenye kufurahisha.
  3. Kwa Wazabuni
    • Kufanya kazi na wazabuni kwa usawa
    • Kutambua na kuzingatia maslahi kwa pamoja
    • Kuwawezesha wazabuni kuendeleza biashara zao wakati wowote iwezekanavyo.
    • Kuanzisha uhusiano endelevu na wa muda mrefu na wazabuni wetu.
  4. Kwa Shinyanga
    • Kutoa ajira kwa jamii
    • Kuwa kama chanzo cha maji kwa maisha ya kila siku
    • Kuhimiza na kuendeleza vipaji vya asili
    • Kusaidia jamii kupitia matukio maalum n.k

Tovuti Zinazohusiana

NEMC
KASHWASA
Bonde la Ziwa Viktoria
Tovuti ya Taifa

Kupata Namba za Malipo

Kupata ankara yako na huduma nyingine, tafadhali fuata hatua zifuatazo;

  1. Piga *152*00#
  2. Chagua 6; Maji
  3. Chagua 1; Huduma za Maji za Pamoja
  4. Chagua Huduma Unayoitaka
  5. Ingiza Namba ya Akaunti (A476... au B476...)
Njia za Kufanya Malipo