Water Sources

Vyanzo vya Maji na Uwezo Wake

Mamlaka ina vyanzo vya aina tatu vya maji ambavyo ni; Bwawa, visima na maji kutoka ziwa viktoria. Maji kutoka ziwa viktoria ndiyo chanzo kikuu cha maji kwa Mamlaka.

Bwawa la Ning'hwa
Kabla ya kutekelezwa mradi wa maji kutoka ziwa Viktoria, Bwawa lilikuwa chanzo kikuu cha maji tkatika Manispaa ya Shinyanga likiwa na uwezo wa mita za ujazo 10,600,000 na kuzalisha mita za ujazo 10,000 kwa siku. Kina cha Bwana kinategemea sana na kiwango cha mvua kwa mwaka.
Maji ya Jumla
Mamlaka inanunua maji yaliyotibiwa kutoka ziwa Viktoria ambayo yanasambazwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanga (KASHWASA). Hiki ndiyo chanzo kikuu cha maji kwa sasa.
  
Na. Chanzo Uwezo M3 kwa Siku
UndajiSasa
1 Bwawa la Ning’hwa 8,000 7,500
2 Maji kutoka Ziwa Viktoria 80,000 40,000
Jumla 88,000 47,500
    

Tovuti Zinazohusiana

NEMC
KASHWASA
Bonde la Ziwa Viktoria
Tovuti ya Taifa

Kupata Namba za Malipo

Kupata ankara yako na huduma nyingine, tafadhali fuata hatua zifuatazo;

  1. Piga *152*00#
  2. Chagua 6; Maji
  3. Chagua 1; Huduma za Maji za Pamoja
  4. Chagua Huduma Unayoitaka
  5. Ingiza Namba ya Akaunti (A476... au B476...)
Njia za Kufanya Malipo