Dhima na Dira

Dhima

Kutoa huduma bora na nafuu ya majisafi na Usafi wa Mazingira katika Manispaa ya Shinyanga kwa kuwa na Watumishi wanaojituma, wenye ufanisi na wanaofanya kazi kwa bidii na kutumia teknolojia za kisasa na zilizo rafiki kwa mazingira.

Dira

Mamlaka imedhamiria kuwa Mamlaka bora Tanzania katika utoaji wa huduma endelevu ya majisafi na salama pamoja na kuwa rafiki wa mazingira katika uondoaji wa maji taka.


Tovuti Zinazohusiana

NEMC
KASHWASA
Bonde la Ziwa Viktoria
Tovuti ya Taifa

Kupata Namba za Malipo

Kupata ankara yako na huduma nyingine, tafadhali fuata hatua zifuatazo;

  1. Piga *152*00#
  2. Chagua 6; Maji
  3. Chagua 1; Huduma za Maji za Pamoja
  4. Chagua Huduma Unayoitaka
  5. Ingiza Namba ya Akaunti (A476... au B476...)
Njia za Kufanya Malipo