Habari Mpya
------------------------------------------
Picha ya pamoja kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti za Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Shinyanga na Mbeya wakati wa Ziara ya Mafunzo kwa Bodi ya Mbeya WSSA waloifanya SHUWASA.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi na Menejimenti ya SHUWASA pamoja na Mfanyakazi aliestaafu (watano kutoka kushoto) wakati wa sherehe ya kumuaga Mstafu huyo iliyofanyika SHUWASA
Mwenyekiti wa TUGHE tawi la SHUWASA TUGHE (Nassoro Mashishanga) akiongea mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Maji alipoitembelea SHUWASA tarehe 11 Januari 2018.
Wafanyakazi wa SHUWASA wakiendesha elimu juu ya huduma ya maji katika shule ya sekondari Mwasele
Bomba la Maji
Kupata ankara yako na huduma nyingine, tafadhali fuata hatua zifuatazo;