Inachakata...
Jumapili, Imefungwa

Maombi ya Maunganisho


Taratibu za Maombi ya Maunganisho Mapya

Hatua:

  1. Mteja atachukua, atajaza na kuwasilisha formu hiyo katika ofisi za SHUWASA.
  2. Mteja hutembelewa kwa ajili ya kupima na kutathimini.
  3. Mtejwa huandaliwa gharama kwa ajili ya maunganisho mapya.
  4. Mteja atatakiwa kulipa gharama atakazokuwa amepewa.
  5. Baada ya malipo kufanyika, Mteja ataunganishwa kwenye mfumo wa maji.
  6. Baada ya kuunganishwa kwenye huduma, Mteja atatakiwa kuingia mkataba wa makabidhiano.


ANGALIZO: MALIPO YA MAOMBI YA MAUNGANISHO MAPYA YA MAJI YAFANYIKE KUPITIA NAMBA YA KUMBUKUMBU YA MALIPO ALIYOPEWA MTEJA NA HAYATAKIWI KULIPWA KWA MTUMISHI.